New Mixtape Mtaani [ MWENGE-KIWALANI ]

Mixtape iliyo kuwa ikisubiliwa kwa hamu kubwa mtaani sasa inapatikana kwa sasa mtaani ikiwa katika hard copy pia na online.Kiukweli hii ni mixtape ambayo rapper wengi wameikubali na kuipa go ahead mtaani kwani imekamilika na imekuwa ni mixtape ya kwanza Tanzania kukubaliwa kama mixtape bora duniani na rapper nikk mbishi
  Upatikanaji wa Mixtape hii unaweza kumfollow rapper zaiid instagram na kuidownload katika bio yake au kufanya nao mawasiliano.Fnaya haraka mixtape hii sio ya kuikosa mtu wangu.