HAPPY BIRTHDAY FID Q.



Nachukua nafasi hii kuweza kutoa salamu zangu za dhati kumtakia heli ya kuzaliwa moja kati ya wachanaji wakali wa  mziki wa hip hop hapa Tanzania bwana fid Q. Mungu akulinde na kukutangulia katika kazi za zako zote za mikono kumbuka kuwa na sisi bado ni mashabikiki zako wa mziki wa hip hop tuna kubali kinoma na ku support kazi zako endelee kusogeza hili gurudumu la mziki wetu mbele HAPPY BIRTHDAY  TO YOUUUUUUUU NGOSHA aka MWANAMALUNDI!!!!!!!

NEW ALBUM TOKA KWA NIKK MBISHI - "UFUNUO WA UNJU BIN UNUQ"



Kama kawaida ya nikk mbishi kila siku huja tofauti na kuamini katika mziki wa hip hop unahitaji zaidi ya show na lifestyle za wasanii wa hip hop kwahiyo mashabiki wana hitaji kupewa dawa ya kuweza kutibu kiu yao ya muda mrefu hivyo nikk mbishi huandaa track zake kali kwa wingi na ni moja ya rap wenye track nyingi online zenye mahadhi ya hip hop.
Katika ya mwaka huu Nikk mbishi anajalibu kutoa moja kati ya hot album. Album hii ni moja ya album nilizo weza zisikiliza na kuzielewa UFUNUO WA UNJU BIN UNUQ ni moja ya album kali sana akiwa ameshilikiana na wasanii mbali mbali waki wemo wa tamaduni musik
Album hii inapatikana online katika tovuti ya www.mkito.com na unaweza kupitia katika ukursa wa INSTAGRAM wa nikk mbishi na kupata maelekezo jinsi ya kupata nakala yako
Fanya hivyo kuweza kusupport mziki wa hip hop Tz.