FID Q ANENA KUHUSU "WALK IT OFF" OFFICIAL VIDEO.


  

Fid Q a.k.a King of hip hop in TZ akili kuwa "Walk It Off" ni moja Kati ya video zake bora alizo kwisha fanya Kati Miaka 16 ya mziki wake wa hip hop TANZANIA.

Pia Fid Q amekili kuwa hii ni moja kati ya video iliyo weza kumuongezea Idadi kubwa sana ya mashabiki Africa na nje ya africa kiujumla. 

Video hii hapa itazame 







NASH MC NI SAUTI YA MTAA.



NASH MC ni moja kati ya  rapper wanao unda kundi la milaba minne(wachache wanalijua hii) linalo patikana katika kundi mama la TAMADUNI MUZIK ndani ya label kongwe "MUSIC LABORATORY" nash ni moja kati ya rapper wenye misimamo mikali ya mziki, pia nash anatambulika kwa uwezo wake wa uandishi wa mashairi na utumizi fasaha wa  lugha ya kiswahili katika mziki wake

Nash Mc anata umaarufu mkubwa kwenye mziki wa hip hop TANZANIA kwa uwezo wake wakusimamia movement kubwa na zenye changamoto kubwa peke yake na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa na mitaa hudhililisha mapenzi yake kwa ku support movement zake na mziki wake kiujumla 


Hili limeonekana hivi karibu pale mashabiki zake walivyo amua kudhihilisha hili mitaa kwa ku print jina la rapper huyo kwenye walls za mitaa na kuonesha kuwa wana mpenda sana nash na wanakubali anachokifanya 

MKESHA WA PASAKA KINA HAPPEN.



Mkesha wa pasaka kina happen pale msasani club, hapa SONGA a.k.a "Samaki mwenye kiu ndani ya maji" pale ONE INCREDIBLE a.k.a "moko wa miujiza" kati NIKK MBISHI, kuna nini tena zaiidi ya burudani na fulaha kwa pamoja, njoo wewe na wanao kwapamoja tu sherehekee  mkesha wa pasaka kihiphop zaidi

kiingilio ni Tsh. 7000/= kwa mtu mmoja na Tsh. 10000/= kwa watu wawili ni bei fair kabisa kwa mtanzania wa kawaida anaweza kuikidhi lengo kuu ni kutoa burudani kwa watu wenye uwezo wa chini na juu kwa pamoja. (Amka Mtanzaia) muda ndio huu.