HABARI NZURI KWA MASHABIKI WA JOHN MAKINI



Katika Ukurasa wa mtandao wa twitter msanii kutoka Nigeria Davido Amedhibitisha kufanya kazi na rap john makini. Muda wowote mashabiki wa Davido na john wawe makini na wajitayarishe kupata mziki mzuri sana kutoka kwa sanaii hao wawili. Nyota kwa sasa inazidi kuwa njema kwa john makini baada ya kufanya kazi na rap AKA wa Africa ya kusini na KEO sasa ni Davido. Hongera san John makini.