Rapper Mwenye Uandishi Adimu Tanzania

Kama Ukitaka Kufahamu Utofauti Na Umalidadi Wa Uandishi Wa Mashairi Yaliyo Katika Mtiririko Mzuri Bila Kuhama Katika Maada Lengwa Jitahidi Kufatilia Kazi Za Rapper Huyu Anaitwa P THE MCEE ni Rapper Kati Ya Marapper Wanao Unda Kundi La TAMADUNI MUZIK. Kiuhalidhia Kabisa Jamaa Anaandika Vitu Ambavyo Ni Common Katika Jamii Japo Hajapata Airtime Ya Kutosha Katika Media Za Tanzania Lakini Ni Moja Kati Ya Rapper Wenye Uwezo Mkubwa Wa Uandishi Wa Mashairi Bora Kabisa.

Mwana FA Aachia KIBOKO YANGU official Video

Rapper Huyo Kutoka Tanga Akimshirikisha Ali Kiba King Wa Chorus Tz. Video imekuwa Kama Maana FA Alivyo Waambia Na Kuwaahidi Mashabiki Zake Kuwa Wakae Mkao Wa Kupata Video Ambayo Anaamini Kwamba Ni Bora Kuliko Video Zake Zote.
Unaweza Kuitizama Video Yake YouTube Na Kutoa Maano Yako.

Nikki Mbishi Aamua Kuacha Mziki.

Swala Hilo Mpaka Sasa Limekuwa Katika Social Media Likichukua Headlines Kubwa Sana Pale Ambapo Nikki Alitoa Tamko Hilo rasmi katika ukurasa wake wa Twitter Na Kuacha Mashabiki Wengi Midomo Wazi,Swala Hilo Linaonekana Kama Kuja Kwa Ghafula Sana,Kiasi Kwamba Hata Rafiki Zake Wa Karibu Wa Tamaduni Muzik Akiwemo Songa Alipatwa Na Mshituko,Japo Kuwa Mpata Sasa Hivi Nikki Mbishi Amesimamia Msimamo Wake.Japo kushauriwa Na Wasanii Wengi Wakiwemo Wa kongwe kama Prof J,Did Q,God Zilla.
Mpaka Sasa Mashabiki Wengi Hawaamini Swala Hilo,ila wana Amini Nikk Atabaki Akifanya Maswala Mengine Ya Kimziki Wa Hip Hop Na Sio Kuimba Tena Kama ilivyo Zoeleka.