NEW: LIST YA KILI MUSIC AWARDS OUT..

Baadhi Ya Vipengelene Vivyomo kwenye List Hiyo Ya KILIMANJARO MUSIC AWARDS ni kama ifuatavyo....

 Wanaowania tuzo ya msanii bora wa hiphop: Joh Makini, Fid Q, MwanaFA, Roma Mkatoliki na Profesa Jay."

Wimbo bora wa Hiphop: Bongo hiphop - Fid Q , Mfalme MwanaFA , Kipi sijasikia Prof Jay, Gere - Weusi, I see me Joh, XO - Joh.

Mtunzi bora wa mwaka Hiphop: FidQ JohMakini, MwanaFA,Nikk wapili na Kala Jeremih"

 Producer bora wa bongofleva: Nahreel Man Water, Mesen Selekta, Tudd Thomas na Marcochali"

Video bora ya muziki ya mwaka: Mdogo mdogo na Nitampata wapi - Diamond, Mwana - Ali Kiba, Olethemba ya Linah, na Asante ya Ay.

Kikundi bora cha mwaka BongoFleva: Navy Kenzo, Yamoto Band, WEUSI, Makomando na B.O.B"

Mtunzi bora wa bongofleva: Ali Kiba, Diamond, Ben Pol, Barnaba na Jux.

 Wimbo bora wa mwaka: Nani kama mama C.Bella na OmmyD, Mwana -Ali Kiba, Gere - Weusi, Nitasubiri - Jux, Bongo hiphop ya FidQ"

 Wimbo bora wa Afrika Mashariki: Sura yako wa SautiSol Kioo - Jaguar, Walewale JChameleone Prokoto & Show VICTORIA_KIMANI

Hivyo Ni Baadhi Ya Vipengelene Tu katika KILIMANJARO MUSIC AWARDS unaweza fatilia Full List Katika Official Website Ya KTMA.

TEKNOLOGY MIXTAPE MTAANI

New mixtape iitwayo teknolology ya Producer wa Tamaduni Muzik aitwae REY-TEK Inapatikana Mtaani Kwa sasa.Mixtape hiyo ina Jumla Ya nyimbo 11 tofautitofauti katika mahadhi ya hiphop.Pia Ameweza kuwashirikisha wasanii mbalimbali wa tamaduni na nje ya tamaduni .Jipatie nakalaa yako Mapema Support mziki wa hiphop Tanzania Pia.

NEW TRACK: JANB-HUSTLE EVERYDAY

https://mkito.com/mobile/song/hustle-everyday/13433/

NEW TRACK: SONGA ft JEFF LEGEND

https://mkito.com/mobile/artist-profile/songa/675

NI ZAMU YA STEREO na CHIDI BENZ

Ni zamu ya Stereo na Chid Benz kwenye Game la hip hop.Ni kwa muda mrefu chid Benz na stereo wamekuwa kinywa kwenye Game bila kutoa ngoma mpya hewa. Usemi huo umevujika juzi stereo alipo achia ngoma mpya iitwayo UKONGA ILALA ni mziki wa Tofauti unaozungumzia sana mziki wa mtaani kama unavyojua stereo ni king wa mziki wa Mtaani. Kiukweli stereo na Chid Benz wameutendea haki huu Wimbo kwasababu wamezungumzia Mambo mengi.

Pata Nafasi kuutafuta wimbo huu na Kuusikia kiundani na Utaelewa nini ninacho maanisha.

MJUE MTANGAZAJI ANAYE IWAKILISHA VIZURI HIP HOP TANZANIA

Kama ulikuwa hujui Ndio Ujue kuanzia Leo,JABIR SALEH Mtangazaji Wa kituo cha redio cha Times FM ni Kati Ya Ma presenter Bora Kabisa Kuwahi Tokea Tanzania Kwa Kuwapa Support Wasanii Wa changa Na Wakubwa hasa wa Tasnia Ya Mziki wa Hiphop Nchini.
   Ame kuwa akiwaalika wasanii wengi Kwenda studio kutambulisha Kazi zao na plan zao za mziki bila shida.Pia ni Kati ya watangazaji Mwanao jua mziki wa hip hop vizuri....

Hivi Karibuni JABIR SALEH amekuwa miongoni wa Watangazaji wanao wania TUZO ya watangazaji bora Wa redio na kwa dalili zinazo endelea Mtandaoni Anauwezekano Mkubwa wa kishinda category kalibia zote alizo ingia kwa sababu watu wanaelewa anachokifanya. HUYO NDIO JABIR SALEH fatilia kipindi chake cha The jumpoff umuelewe zaidi.

TAMANDUN MUZIK WATOA CHAPISHO LA KOFIA KWA MALA YA KWANZA

Kikundi Cha Mziki Wa Hip Hop Tamanduni Muzik Cha Toa Chapisho La Kofia zenye Lebo Ya Nembo Yao Kwa Mara Ya Kwanza..... Ikumbukwe hii sio Mara Ya Kwanza Kikundi Hichi Kuanzisha Biashara Za Matangazo Ya Bidhaa Zenye Nembo Yao Kwa Mara Ya Kwanza Na Pia Wasani Wanao Patikana Katika Kikundi Hicho Wamekuwa Waki Chapisha T-shirt zenye Nembo mbalimbali Zikiwemo za Album,mixtape, hata Makongamano Yao...

  Kama Kweli Wewe Ni Mpenzi Wa Kikundi Hichi Naamini Utawaunga Mkono Kwa Vyovyote Vile Bei Ya Kofia Moja Ni Tsh.20000/= za Kitanzania
#MovementForChange Support Wasanii Wetu......