Rapper Mwenye Uandishi Adimu Tanzania

Kama Ukitaka Kufahamu Utofauti Na Umalidadi Wa Uandishi Wa Mashairi Yaliyo Katika Mtiririko Mzuri Bila Kuhama Katika Maada Lengwa Jitahidi Kufatilia Kazi Za Rapper Huyu Anaitwa P THE MCEE ni Rapper Kati Ya Marapper Wanao Unda Kundi La TAMADUNI MUZIK. Kiuhalidhia Kabisa Jamaa Anaandika Vitu Ambavyo Ni Common Katika Jamii Japo Hajapata Airtime Ya Kutosha Katika Media Za Tanzania Lakini Ni Moja Kati Ya Rapper Wenye Uwezo Mkubwa Wa Uandishi Wa Mashairi Bora Kabisa.

Chapisha Maoni