Nikki Mbishi Aamua Kuacha Mziki.

Swala Hilo Mpaka Sasa Limekuwa Katika Social Media Likichukua Headlines Kubwa Sana Pale Ambapo Nikki Alitoa Tamko Hilo rasmi katika ukurasa wake wa Twitter Na Kuacha Mashabiki Wengi Midomo Wazi,Swala Hilo Linaonekana Kama Kuja Kwa Ghafula Sana,Kiasi Kwamba Hata Rafiki Zake Wa Karibu Wa Tamaduni Muzik Akiwemo Songa Alipatwa Na Mshituko,Japo Kuwa Mpata Sasa Hivi Nikki Mbishi Amesimamia Msimamo Wake.Japo kushauriwa Na Wasanii Wengi Wakiwemo Wa kongwe kama Prof J,Did Q,God Zilla.
Mpaka Sasa Mashabiki Wengi Hawaamini Swala Hilo,ila wana Amini Nikk Atabaki Akifanya Maswala Mengine Ya Kimziki Wa Hip Hop Na Sio Kuimba Tena Kama ilivyo Zoeleka.

Chapisha Maoni