KAA TAYARI KWA NGOMA KALI: P THE EMCEE ft YOUNG KILLER ft DULLY SYKES.



Jana ilikuwa siku Njema Kwa P the emcee na Young killer plus Mkongwe wa Bongo Fleva Dully kukutana Studio kutegeneza Bonge la ngoma kama P anavyo bainisha kwenye ukurasa wake wa Instagram
Ngoma Hiyo inayokwenda kwa Njina La RUN DSM ikokaribu kutoka Out.
Naamini itakuwa ngoma kali sana maana P THE EMCEE Na Young Killer ni Moja Ya rappers wa kali sana kiuandishi na unataji na midundo. Dully always huwa hatuangushi fans wake,TUWE TAYARI KWA MIKONO MIWILI KUIPOKEA NGOMA.

Chapisha Maoni