MKESHA WA PASAKA KINA HAPPEN.



Mkesha wa pasaka kina happen pale msasani club, hapa SONGA a.k.a "Samaki mwenye kiu ndani ya maji" pale ONE INCREDIBLE a.k.a "moko wa miujiza" kati NIKK MBISHI, kuna nini tena zaiidi ya burudani na fulaha kwa pamoja, njoo wewe na wanao kwapamoja tu sherehekee  mkesha wa pasaka kihiphop zaidi

kiingilio ni Tsh. 7000/= kwa mtu mmoja na Tsh. 10000/= kwa watu wawili ni bei fair kabisa kwa mtanzania wa kawaida anaweza kuikidhi lengo kuu ni kutoa burudani kwa watu wenye uwezo wa chini na juu kwa pamoja. (Amka Mtanzaia) muda ndio huu.

Chapisha Maoni