NEW VIDEO: MNAZ MC ft CHINDO MAN - I'M PEACE




Mnaz Mc ni moja kati ya wasanii wapya kwenye mziki wa bongo hip hop tokea ARUSHA, Pia nikati ya wasanii waliopo chini ya record label ya WATENGWA RECORD chini ya usimamizi wa chindo man rapper bora na mahiri tokea ARUSHA japo kimaisha mara nyingi yupo abroad

Watu wengi watakuwa hawamfahamu rapper huyu  kutokana na kuwa mgeni masikioni mwa wasikilizaji wa mziki wa bongo HIP HOP wengi, But wait ni kwambie kitu..!!

Je wajua Mnaz MC was winner of African Music Now Freestyle Battle in Kijenge Juu, moja ya sifa inayoweza kukupa ushawishi wakumsikiliza kwa umakini na kumpokea katika mziki wa BONGO HIP HOP ili aweze kukimbiza kijiti kama rapper wengine wakwogwe au wapya katika mziki huu wa bongo hip hop

VIDEO imefanyika chini ya usimamizi wa Africanmusicnow na kuwa filmed and directed by Dony and Davy K of D.I.D. Entertainment. Waweza itazama video hiyo hapa chini na kutoa support yako kwa kushare na watu mbali mbali ili kuweza kufikisha mziki wetu wa bongo hip hop mbali..



Chapisha Maoni