RAPPER WAKAZI ATEULIWA KUWANIA TUZO ZA KORA KATIKA KIPENGELE CHA "BEST HIP-HOP ACT"

 
tanzania rapper wakazi



Habari njema kwa mashabiki wote wa rapper wakazi, Ni kwamaba siku zote ukifanya kitu kizuri mafanikio ni lazima yatakufata haijalishi eneo ulilopo au aina ya lugha unayotumia kuwakilisha mziki wako. Kwa mara ya kwwanza kwa rapper wakazi ametauliwa kuwani katika tuzo za KORA katika kipengele cha best hip hop act kwa africa.

Rapper wakazi anachuana vikali na rapper wezake wakali kutoka afrika akiwemo rapper kama SARKODIE kutokea GHANA, STANLEY ENOW kutokea CAMEROON, HAMZAOUI MED AMINE kutokea TUNISAI, Kiff No Beat (Cote D'voire) na Rapper KO kutokea SOUTH AFRICA.

Shindano hili la KORA MUSIC AWARD litafanyikia katika mji wa Windhoek Namibia mnamo tarehe 20th 2016, Maswala ya upigaji na njia za kutumia kupiga kula mtafahamiswa . Pia rapper wakazi amefulahisha sana na kitendo hichi cha kuchaguliwa kuwa miongoni mwa marapper watakao shindanishwa katika tuzo hizo za kora music award. Wakogwe wa mziki na harakati za mziki wa hip hop kama ZAVARA na Xsamiasiku4saa4 wamempa bara zote na kumsihi kuwa ushindi wake katika tuzo hizo ni ushindi wa marapper wote wa bongo.

                                      
Pia ikumbukwe kuwa rapper wakazi atakuwa anachuana vikali na rapper wekaze wakali na wakubwa bara afrika, Kwa hiyo swala la kumpigia kula ni swala la muhimu sana ili kufanikisha swala hii na ushindi kwa nchi yetu na fulaha kwa mziki wa bongo pia. Upatapo taarifa hizi mjulishe na mwezako kuwa rapper wakazi anahitaji support yako.

                                        





Chapisha Maoni