Baadhi Ya Vipengelene Vivyomo kwenye List Hiyo Ya KILIMANJARO MUSIC AWARDS ni kama ifuatavyo....
Wanaowania tuzo ya msanii bora wa hiphop: Joh Makini, Fid Q, MwanaFA, Roma Mkatoliki na Profesa Jay."
Wimbo bora wa Hiphop: Bongo hiphop - Fid Q , Mfalme MwanaFA , Kipi sijasikia Prof Jay, Gere - Weusi, I see me Joh, XO - Joh.
Mtunzi bora wa mwaka Hiphop: FidQ JohMakini, MwanaFA,Nikk wapili na Kala Jeremih"
Producer bora wa bongofleva: Nahreel Man Water, Mesen Selekta, Tudd Thomas na Marcochali"
Video bora ya muziki ya mwaka: Mdogo mdogo na Nitampata wapi - Diamond, Mwana - Ali Kiba, Olethemba ya Linah, na Asante ya Ay.
Kikundi bora cha mwaka BongoFleva: Navy Kenzo, Yamoto Band, WEUSI, Makomando na B.O.B"
Mtunzi bora wa bongofleva: Ali Kiba, Diamond, Ben Pol, Barnaba na Jux.
Wimbo bora wa mwaka: Nani kama mama C.Bella na OmmyD, Mwana -Ali Kiba, Gere - Weusi, Nitasubiri - Jux, Bongo hiphop ya FidQ"
Wimbo bora wa Afrika Mashariki: Sura yako wa SautiSol Kioo - Jaguar, Walewale JChameleone Prokoto & Show VICTORIA_KIMANI
Hivyo Ni Baadhi Ya Vipengelene Tu katika KILIMANJARO MUSIC AWARDS unaweza fatilia Full List Katika Official Website Ya KTMA.