TEKNOLOGY MIXTAPE MTAANI

New mixtape iitwayo teknolology ya Producer wa Tamaduni Muzik aitwae REY-TEK Inapatikana Mtaani Kwa sasa.Mixtape hiyo ina Jumla Ya nyimbo 11 tofautitofauti katika mahadhi ya hiphop.Pia Ameweza kuwashirikisha wasanii mbalimbali wa tamaduni na nje ya tamaduni .Jipatie nakalaa yako Mapema Support mziki wa hiphop Tanzania Pia.

Chapisha Maoni