MJUE MTANGAZAJI ANAYE IWAKILISHA VIZURI HIP HOP TANZANIA

Kama ulikuwa hujui Ndio Ujue kuanzia Leo,JABIR SALEH Mtangazaji Wa kituo cha redio cha Times FM ni Kati Ya Ma presenter Bora Kabisa Kuwahi Tokea Tanzania Kwa Kuwapa Support Wasanii Wa changa Na Wakubwa hasa wa Tasnia Ya Mziki wa Hiphop Nchini.
   Ame kuwa akiwaalika wasanii wengi Kwenda studio kutambulisha Kazi zao na plan zao za mziki bila shida.Pia ni Kati ya watangazaji Mwanao jua mziki wa hip hop vizuri....

Hivi Karibuni JABIR SALEH amekuwa miongoni wa Watangazaji wanao wania TUZO ya watangazaji bora Wa redio na kwa dalili zinazo endelea Mtandaoni Anauwezekano Mkubwa wa kishinda category kalibia zote alizo ingia kwa sababu watu wanaelewa anachokifanya. HUYO NDIO JABIR SALEH fatilia kipindi chake cha The jumpoff umuelewe zaidi.

Chapisha Maoni