NI ZAMU YA STEREO na CHIDI BENZ

Ni zamu ya Stereo na Chid Benz kwenye Game la hip hop.Ni kwa muda mrefu chid Benz na stereo wamekuwa kinywa kwenye Game bila kutoa ngoma mpya hewa. Usemi huo umevujika juzi stereo alipo achia ngoma mpya iitwayo UKONGA ILALA ni mziki wa Tofauti unaozungumzia sana mziki wa mtaani kama unavyojua stereo ni king wa mziki wa Mtaani. Kiukweli stereo na Chid Benz wameutendea haki huu Wimbo kwasababu wamezungumzia Mambo mengi.

Pata Nafasi kuutafuta wimbo huu na Kuusikia kiundani na Utaelewa nini ninacho maanisha.

Chapisha Maoni