TAMANDUN MUZIK WATOA CHAPISHO LA KOFIA KWA MALA YA KWANZA

Kikundi Cha Mziki Wa Hip Hop Tamanduni Muzik Cha Toa Chapisho La Kofia zenye Lebo Ya Nembo Yao Kwa Mara Ya Kwanza..... Ikumbukwe hii sio Mara Ya Kwanza Kikundi Hichi Kuanzisha Biashara Za Matangazo Ya Bidhaa Zenye Nembo Yao Kwa Mara Ya Kwanza Na Pia Wasani Wanao Patikana Katika Kikundi Hicho Wamekuwa Waki Chapisha T-shirt zenye Nembo mbalimbali Zikiwemo za Album,mixtape, hata Makongamano Yao...

  Kama Kweli Wewe Ni Mpenzi Wa Kikundi Hichi Naamini Utawaunga Mkono Kwa Vyovyote Vile Bei Ya Kofia Moja Ni Tsh.20000/= za Kitanzania
#MovementForChange Support Wasanii Wetu......

Chapisha Maoni