NEW TRACK COMING SOON P THE NATIVE ft JORDAN- CHINI YA JUA.



Kama hujawahi pata nafasi na kumsikiliza vizuri P the Native utakuwa unakosa kitu ili kukamilisha chat yako ya  underground rapper wakali katika music industry ya Tanzania. Naamini ukipata muda ukatulia na kisikia japo ngoma moja yake aliyo toa,napendekeza utafute ngoma yake inayo kwenda kwa jina la UWEZO amemshirikisha Mulla asee ni moja ya ngoma kali sana kusema  ukweli.Kinachonifulahisha kumsikiliza p tha native ni uwezo wa kutumia street language au kwa kiswahili tunaiita "lugha ya mtaa" kufikisha ujumbe kwa hadhila. Katika swala la uandishi wa beti zake itakuchukua muda kidogo kuweza kumuelewa kwani ni moja ya rapper wasio tumia mtiriliko wa uandishi uliozoeleka kitu kinacho fanya rapper wengi kutumia aina hii ya uandishi linapokuja swala la DISS.

New Joint inayokuja toka kwa P the native ni Ngoma inayokwenda kwa jina la "CHINI YA JUA" naamini ni bonge la ngoma maana always rapper bora ni bora siku zote hata kama asipotoa ngoma mpya.Mitaa ikae mkao wa kula kupokea mziki mzuri.

Chapisha Maoni