FID Q AINGIZWA KWENYE ORODHA YA WASANII 20 BORA WA HIP HOP AFRICA



Fid Q ni moja wa rapper bora sana walio wahi tokea katika ramani ya mziki wa hip hop hapa kwetu Tanzania,Kama kweli wewe ni mfatiliaji mzuri wa mziki wa hip hop huwezi kubishana na mimi, Kwani mpaka sasa naweza sema ni mfalme wa Hip hop Tanzania,kinacho mtofautisha Fid Q na rappers/wachanaji wengine hapa nchini ni uwezo wake wa  ki uandishi wa mashairi,linapo kuja swala la kuandika mashairi siku zote Fid Q huwa hakosei katika kuandika mashairi makali na magumu kudadavua na  pia  hutumia pia ufundi wake aliopewa na mwenyezi mungu wa kutumia lugha ya kiswahili vizuri na kuhakikisha  masharii yake yanakuwa katika kiwango chake cha juu.

Kutokana na hayo basi jalida la SA HIP-HOP limempa nafasi nyingine Fid Q kutambulika Kia afrika kwa kuweza kuamini uwezo wake wa uandishia wa Mashairi na kumuingiza katika orodha ya Majina  20 ya wasanii bora Afrika na fid Q akikamata nafasi ya 18 akiwa Mtazania pekee kupata nafasi hiyo. wasanii wengine walio unda Orodha hiyo ni kama ifuatavyo.



1. AKA - South Africa.

2.Sarkordie - Ghana.

3.Ice prince - Nigeria

4.Cassper Nyovest - South Africa

5.M.I - Nigeria.

6.KO - South Africa

7.Manifest - Ghana

8.k'naan - Somalia

9. Zues - Botswana

10. Phyon - Nigeria.

11. Olamide -  Nigeria

12. Dee Money - Ghana

13. Octopizzo - Kenya

14. Tumi - South Africa

15. Stunner - Zimbambwe

16. Yossoupha - Congo

17. Dama Da Bling - Msumbiji

18. Fid Q - Tanzania

19. Cleo ice Queen - Zambia

20. Cal Vin - Zimbambwe



Hapo ndipo Fid Q aliweza kuwa katika list hiyo na kuwa rapper bora na pekee kwa Tanzania kutokea katika jalida hilo la SA HIP-HOP.





Chapisha Maoni