Kutokana na hayo basi jalida la SA HIP-HOP limempa nafasi nyingine Fid Q kutambulika Kia afrika kwa kuweza kuamini uwezo wake wa uandishia wa Mashairi na kumuingiza katika orodha ya Majina 20 ya wasanii bora Afrika na fid Q akikamata nafasi ya 18 akiwa Mtazania pekee kupata nafasi hiyo. wasanii wengine walio unda Orodha hiyo ni kama ifuatavyo.
1. AKA - South Africa.
2.Sarkordie - Ghana.
3.Ice prince - Nigeria
4.Cassper Nyovest - South Africa
5.M.I - Nigeria.
6.KO - South Africa
7.Manifest - Ghana
8.k'naan - Somalia
9. Zues - Botswana
10. Phyon - Nigeria.
11. Olamide - Nigeria
12. Dee Money - Ghana
13. Octopizzo - Kenya
14. Tumi - South Africa
15. Stunner - Zimbambwe
16. Yossoupha - Congo
17. Dama Da Bling - Msumbiji
18. Fid Q - Tanzania
19. Cleo ice Queen - Zambia
20. Cal Vin - Zimbambwe
Hapo ndipo Fid Q aliweza kuwa katika list hiyo na kuwa rapper bora na pekee kwa Tanzania kutokea katika jalida hilo la SA HIP-HOP.
Chapisha Maoni