FID Q KUVUKA MIPAKA MPAKA NIGERIA KWA MKALI 2 FACE.



Ni fulaha kubwa sana kwangu kuona mziki wa hip hop Tanzania ukikua kila siku kutoka step moja kwenda step nyingine hivyo inatupa faraja hasa sisi wa dau wa huu mziki wa hip hop kuto kukata tamaa na kuamini ipo siku tutafika tunapo taka kwenda.
Swala la fulaha kimetokea baada ya mkali wa hip hop tanzania fid q kutoa tetesi katika chombo fulani cha redio kuwa mashabiki wake wakae mkao wa kula any time anaweza fanya kazi na mkali wa miondoko ya RnB 2FACE kutoka Nigeria kwani wamesha wahi kukutana nakupanga mipango hiyo since long time sema harakati zikawa zinawabana  but kwa neema za Mungu zaidi ni pale majuzi juzi  rapper fidq alipo kutana na msanii huyo alipo kuwa katika harakati za coke studio na kupanga mipango endelevu ya pale walipo ishia 
Sisi kama wa dau wa mziki tuna waombea uzima ili watupe mziki mzuri kama tunavyo talajia.

Chapisha Maoni