NI TIME YA RAPPER MABESTE: NDOA




Rapper mabeste yuko mbioni muda wowote kufunga ndoa na mpenzi wake mpendwa walio pendana kwa muda mrefu katika kipindi cha laha na matatizo. Rapper mabeste amelionesha hilo wazi kwa wapenzi wake kuwa anampenda sana mpenzi wake kwani hata mwanzo kipindi ana pata matatizo mabeste alikuwa bega kwa bega na mpenzi wake .Pia alipo pata tatizo kubwa  hakuona hatari kuomba msaada kwa fans wake hata wasanii wenzake. Mabeste ni rapper amabaye amefanikiwa kupata mtoto mmoja mpaka sasa.

Mabeste amefika uamzi huo baaada ya kuona  now ni muda wa yeye kuvuta jiko japo ametahadhalisha kuwa swala hilo linaweza kuwa la kushitukiza, kwahiyo watu wawe tayari kwa lolote iwe kimchngo au any support.

Chapisha Maoni