TOKA KWA ONE INCREDIBLE : NEW MIXTAPE "IDENTITY" COMING SOON.



Rapper One the Incredible ambaye ni moja Kati ya rapper wanao unda kundi la tamaduni muzik ameliweka swala hilo wazi katika ukurasa wake wa INSTAGRAM akiwataarifu wapenzi wake wa kanda mseto (mixtape) wakae mkao wakula kwani mixtape yake kali inayo kuja ambayo ipo katika hatua za mwisho wisho kabisa katika maandalizi ya kutoka.

Ni imani yangu hii itakuwa ni mixtape kali wahi tokea kwa mwaka huu wa 2015 kwani kila mtu anajua uwezo wa rapper one linapokuja swala la kunata na midundo na umahili wa uandishi..
Pia rapper One incredible amesema kwamba mixtape yake ataitoa bure kabisa bila malipo yoyote kitu ambacho ni moja kati ya vitu vilivyo fanya watu wengi waweze kutoamini swala hilo kwani itakuwa ni mala ya kwanza kutokea katika music industry ya bongo. But all in All tukae tayari kwa ajira ya "IDENTITY"

Chapisha Maoni